Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

RIPOTI MAALUMU: Hiki ndicho kiini cha mauaji Pwani

Kwa ufupi Ingawa mamlaka zimeendelea kusimamia kile kinachoonekana kuwa makubaliano ya kutozungumza ni kwa nini, na ni nani anayetekeleza mauaji hayo, uchunguzi wa gazeti hili pamoja na maelezo ya wananchi na viongozi wao yanatoa mwanga juu ya kiini na sababu za mauaji hayo. Habari FRIDAY, MAY 26, 2017 RIPOTI MAALUMU: Hiki ndicho kiini cha mauaji Pwani  0             By Mwandishi Wetu, Mwananchi mwananchipapers@mwananchi.co.tz Rufiji/Kibiti. Nadharia nyingi zimeibuka juu ya lengo la watu wanaofanya mfululizo wa mauaji katika maeneo kadhaa ya Mkoa wa Pwani, lakini uchunguzi wa gazeti la Mwananchi umebaini kuwa uonevu na dhuluma ya muda mrefu wanayofanyiwa wananchi na kuenea kwa kasi kwa mafundisho ya dini yenye msimamo mkali ndizo sababu kuu. Ingawa mamlaka zimeendelea kusimamia kile kinachoonekana kuwa makubaliano ya kutozungumza ni kwa nini, na ni nani anayet...

Kurudisha nguvu za kiume

Kurudisha nguvu za kiume. Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana. Katika kilele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa, kama inavyojulikana, ni sherehe inayopatikana katika tendo lenyewe la ndoa. Ingawa, ili furaha hiyo ipatikane ni lazima tendo hilo liwe limefanyika katika hali ya afya kwa wanandoa wote wawili. Nguvu za kiume ni neno linalotumika mara nyingi kumaanisha ‘Uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa’. Na inapokuwa tofauti na hivi, tunaita ni ‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’. Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana toka mtu mmoja hadi mwingine. Inaweza kuwa ni hali ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume, au hali ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda mzuri wa kutosha. Pamoja na hayo yote, elimu mhimu ambayo mwanaume anatakiwa kuwa nayo, ni kuwa nguvu za kiume hazipatikani kwa kutumia madawa ya kemikali au mahala pengine; bali zinatokana na vyaku...

FAIDA ZA KITUNGUU SWAUM

KITUNGUU THAUM (Swaumu/Saumu): Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila ugonjwa. Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum . Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita. Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba. Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen’genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu. Historia inaonyesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika nchini China mwaka 510 kabla ya Kristo na pia vilitumiwa na wanajeshi wa Ugiriki na Warumi. Aidha wasafiri wa vyombo vya baharini na vijijini pamoja na wakulima barani Afrika walivitumia sana. Kuna baadhi ya ...

JINI GHAWAAS NA TIBA YAKE

Jini ghawaas na tiba yake ghawas ni neno la kiarabu lenye maana ya mzamiaji *mpiga mbizi* mara nyingi linapotumiwa neno hili hukusudiwa anaezamia ili kutafuta madini ktk bahari km lulu n.k kama vile ilivyokuwa kwa nabii suleymaan a.s ktk sura ya 38 allah anasemaوَالشَّيَاطِينَ كُلَّ بَنَّاءٍ وَغَوَّاص ٍ Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi. wakikusudiwa majinu waliokuwa wakifanya kazi ya kuzamia baharini kutafuta lulu na madini mengine baharini majini hawa wameitwa ghawas kwa sababu ya kuishi kwao ktk vyanzo vya maji na kupendelea sana maeneo yenye majimaji vipi humuingia mwanadamu jinu huyu humuingia mtu mara nyingi kwa kutumwa na wachawi  au kuchokozwa hasa kwa wale wenye kuogolea bila kupiga bismilahi kupiga makelel...

Classical Scholars on Groups In Islam

Classical Scholars on Groups In Islam Mazin AbdulAdhim · There is a very common misconception that all groups are forbidden in Islam, and people regularly spread this idea throughout the Ummah. Any group that is not affiliated with the Saudi version of so-called “Salafiyyah” is immediately denounced as Hizybiyyah (partisanship) or Tafriqa (forming sects), and people are taught to not discuss with these groups, or sit with them, or associate with them. This incorrect idea is actually a relatively recent phenomenon (late 1700s to today), and it contradicts nearly everything that the classical scholars said on the issue. This post explains what the classical scholars said regarding the permissibility (actually, the obligation) of forming groups in Islam, including screenshots of these quotes below, and an explanation of where the line is drawn between *permissible* Islamic groups, and *invalid* unIslamic divisions. Allah (swt) says in Surat Aal-Imran, verse...

TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

ASALAMU ALAYKUM     katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya jiji la dar na ulimwengu kwa ujumla imekuwa ni jambo la kawaida kuona mara kwa mara uuzwaji wa zinazoitwa dawa za kuongeza nguvu za kiume            jambo ambaloz amani halikuwepo kwani watu waliweza kuwa na nguvu za kutosha kulimudu tendo la ndoa bila kuhitajia dawa yoyote ile leo imekuwa kama desturi kama hujui dawa ya nguvu za kiume wewe hutakuwa mganga na hutapata mtu wa kumtibu kwani ni zaidi ya asilimia 60% ya wtakao hitaji tiba watahitaji dawa ya nguvu za kiume jambo lililonipelekea kuandika makala hii ambayo nataraji itakuwa na manufaa kwa wengi  NGUVU ZA KIUME Ni hali ya mtu kuweza kumudu tendo la ndoa na kiasili hakuna ugonjwa wa nguvu za kiume bali kuna upungufu wa nguvu za kiume NINI CHANZO CHA TATIZO HILI kuna sababu nyingi znazopelekea upungufu wa nguvu za kiume miongoni mwazo ni; kuugua kwa mu...

MH ALI SUUDI HAO sijui ni kwa dalili gani wameitumia

Saudi foreign minister: we are in dire need of Israeli military assistance to defeat Yemeni rebels; after all we are historically cousins - AWD News awdnews.com