Ruka hadi kwenye maudhui makuu

UDUNI WA FIKRA

Uduni wa fikra umewafanya wakaazi wa tz kujadili ndege katika kiwango cha taifa na matangazo ya kitaifa na mapokezi ya kitaifa
Kwa ulimwengu ulipo fikia ndege ni kitu cha kawaida ambacho watu binafsi wana miliki
Mjadala huu ungekuwa na thamani lau tanzania ingekuwa imejaribu kutengeneza ndege lakini zenye kiwango duni cha pangaboi kama wenye kulaumu waanavyo shadidia juu ya hilo
Ni uduni wa kiwango cha kutia aibu kwa dunia ya leo serikali kujifia kununua ndege badala ya kutengeneza
Ni duni mkubwa wa mawazo wapinzani wa ununuzi wa ndege hizo akili zao kukomea kwenye kununua zimeshindwa kuvuka kwenye kutengeneza
Lakini walio duni zaidi ya duni ni watakao ona kuwaza kutengeneza haiwezekani au ni jambo kubwa sana hivyo bora kuishi kwa kununua
Huenda gharama ya kununua ndege hizo ingetumika kwenye hatua za utengenezaji ndege zingefikisha hatu fulani
Nchi ya viwanda sio inayo nunua viwanda na kuja kuvijenga nchini kwake hiyo itakuwa soko la viwanda kutoka nchi za viwanda
Nchi ya viwanda ni inayo tengeneza mashine na ala za kutengenezea viwanda

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MTAMBUE JINI MAHABA NA TIBA YAKE

ASALAMU ALAYKUM M aisha ya mwanadamu yamezungukwa na misukos uko na mitihani mbalimbali ambayo wakati mwingine humfanya ajione tofauti na kujiona mwenye kukosa thamani ya maisha, miongoni mwa matatizo ambayo huyapata wengi katika ulimwengu tulionao ni tatizo la jini mahaba nalo huwa pa watu weng i fadhaiko na kukosa amani na raha ya maisha  JINI MAHABA NI NINI? J ini mahaba ni jini {pepo,shetani} yeyote alie muingia mwanaadamu kwa lengo la kufanya nae uchafu wa zinaa. VIPI ANAWEZA KUMUINGIA MTU?     J ini mahaba hu waingia watu kwa sababu nyingi m iongoni mwazo ni kulala bila ya nguo au nguo nye pesi sana bila ya kusoma dua hasa nyakati za jo to 2.wakati wa kufanya tendo la ndoa na wanandoa kusahau kusoma dua wakati wa tendo{na hapa ndipo huwaingia watu zaidi} 3.kujitazama ktk kioo kwa muda mrefu bila ya kusoma dua na hasa kwa wanaopenda kujitazama waki wa uchi 4.kuogelea ukiwa uchi katika vyanzo vya maji bila ya dua {hii hupelekea kuingiwa hasa ...

FAIDA ZA KITUNGUU SWAUM

KITUNGUU THAUM (Swaumu/Saumu): Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila ugonjwa. Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum . Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita. Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba. Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen’genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu. Historia inaonyesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika nchini China mwaka 510 kabla ya Kristo na pia vilitumiwa na wanajeshi wa Ugiriki na Warumi. Aidha wasafiri wa vyombo vya baharini na vijijini pamoja na wakulima barani Afrika walivitumia sana. Kuna baadhi ya ...

JINI GHAWAAS NA TIBA YAKE

Jini ghawaas na tiba yake ghawas ni neno la kiarabu lenye maana ya mzamiaji *mpiga mbizi* mara nyingi linapotumiwa neno hili hukusudiwa anaezamia ili kutafuta madini ktk bahari km lulu n.k kama vile ilivyokuwa kwa nabii suleymaan a.s ktk sura ya 38 allah anasemaوَالشَّيَاطِينَ كُلَّ بَنَّاءٍ وَغَوَّاص ٍ Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi. wakikusudiwa majinu waliokuwa wakifanya kazi ya kuzamia baharini kutafuta lulu na madini mengine baharini majini hawa wameitwa ghawas kwa sababu ya kuishi kwao ktk vyanzo vya maji na kupendelea sana maeneo yenye majimaji vipi humuingia mwanadamu jinu huyu humuingia mtu mara nyingi kwa kutumwa na wachawi  au kuchokozwa hasa kwa wale wenye kuogolea bila kupiga bismilahi kupiga makelel...