Ruka hadi kwenye maudhui makuu

NENDA MZEE NGOSHA MUDA WAKO UMEFIKA LAKINI UMEACHA SOMO

NENDA MZEE ‘NGOSHA’ MUDA WAKO UMEFIKA LAKINI UMEACHA SOMO

Kutupwa na serikali kwa Mzee Ngosha (Francis Kanyasu) (86) aliyedaiwa kuchora Nembo ya Taifa ambae amefariki dunia karibuni kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ni kielelezo cha hali na maisha ya wazee ndani ya Tanzania na ulimwengu wote wa kidemokrasia, licha ya mchango wao mkubwa.
Ikiwa hiyo ndio hali ya mtu anaehisabiwa kutoa mchango muhimu kwa taifa. Vipi hali za wazee wengine hususan vijijini?

Licha ya unaohesabiwa mchango mkubwa alioutoa, Mzee Ngosha alikuwa fukara wa ‘kutupwa’ akiishi kwenye kijichumba kimoja Buguruni, Malapa kwa hisani ya mwenye nyumba na majirani. Ni baada ya vyombo vya habari kuibua taarifa zake ndipo serikali ikajitoa kimasomaso kumpeleka Hospitali kwenda kumalizika.

Demokrasia ni mfumo wa kinyama

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MTAMBUE JINI MAHABA NA TIBA YAKE

ASALAMU ALAYKUM M aisha ya mwanadamu yamezungukwa na misukos uko na mitihani mbalimbali ambayo wakati mwingine humfanya ajione tofauti na kujiona mwenye kukosa thamani ya maisha, miongoni mwa matatizo ambayo huyapata wengi katika ulimwengu tulionao ni tatizo la jini mahaba nalo huwa pa watu weng i fadhaiko na kukosa amani na raha ya maisha  JINI MAHABA NI NINI? J ini mahaba ni jini {pepo,shetani} yeyote alie muingia mwanaadamu kwa lengo la kufanya nae uchafu wa zinaa. VIPI ANAWEZA KUMUINGIA MTU?     J ini mahaba hu waingia watu kwa sababu nyingi m iongoni mwazo ni kulala bila ya nguo au nguo nye pesi sana bila ya kusoma dua hasa nyakati za jo to 2.wakati wa kufanya tendo la ndoa na wanandoa kusahau kusoma dua wakati wa tendo{na hapa ndipo huwaingia watu zaidi} 3.kujitazama ktk kioo kwa muda mrefu bila ya kusoma dua na hasa kwa wanaopenda kujitazama waki wa uchi 4.kuogelea ukiwa uchi katika vyanzo vya maji bila ya dua {hii hupelekea kuingiwa hasa ...

FAIDA ZA KITUNGUU SWAUM

KITUNGUU THAUM (Swaumu/Saumu): Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila ugonjwa. Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum . Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita. Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba. Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen’genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu. Historia inaonyesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika nchini China mwaka 510 kabla ya Kristo na pia vilitumiwa na wanajeshi wa Ugiriki na Warumi. Aidha wasafiri wa vyombo vya baharini na vijijini pamoja na wakulima barani Afrika walivitumia sana. Kuna baadhi ya ...

JINI GHAWAAS NA TIBA YAKE

Jini ghawaas na tiba yake ghawas ni neno la kiarabu lenye maana ya mzamiaji *mpiga mbizi* mara nyingi linapotumiwa neno hili hukusudiwa anaezamia ili kutafuta madini ktk bahari km lulu n.k kama vile ilivyokuwa kwa nabii suleymaan a.s ktk sura ya 38 allah anasemaوَالشَّيَاطِينَ كُلَّ بَنَّاءٍ وَغَوَّاص ٍ Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi. wakikusudiwa majinu waliokuwa wakifanya kazi ya kuzamia baharini kutafuta lulu na madini mengine baharini majini hawa wameitwa ghawas kwa sababu ya kuishi kwao ktk vyanzo vya maji na kupendelea sana maeneo yenye majimaji vipi humuingia mwanadamu jinu huyu humuingia mtu mara nyingi kwa kutumwa na wachawi  au kuchokozwa hasa kwa wale wenye kuogolea bila kupiga bismilahi kupiga makelel...